|
|
 |
Tanzania Food and Drugs Authority (TFDA) is a regulatory body under the Ministry of Health and Social Welfare which is responsible for
regulating the quality and safety of food, drugs, cosmetics and medical devices.
Thank you for visiting our website |
|
|
|
|
|
 |
| The authority provides education to the public about food, drugs, cosmetics and medical devices.
For more information Click here
|
|
|
|
| |
|
|
|
|
|
General News |
|
VYOMBO VYA HABARI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA TFDA Vyombo vya habari nchini vimeahidi kushirikiana na Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) katika kutekeleza sheria ya chakula, dawa na vipodozi kwa kuandika habari za kuelimisha umma, pata habari zaidi.
|
USHIRIKI WA TFDA KWENYE MAONYESHO NA USHINDANI MWAKA 2011
1. TFDA YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA KAMA TAASISI YENYE MIFUMO BORA UONGOZI
Maadhimisho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwa mwaka 2011 yalifanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam tarehe 16 - 23 Juni 2011. Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) ni moja kati ya taasisi za Serikali zilizoshiriki katika maadhimisho haya ambayo yaliambatana na maonesho ya huduma na shughuli mbalimbali zinazotolewa kwa wananchi.
TFDA ilishiriki katika shindano la kutafuta Taasisi yenye Mifumo Bora ya Uongozi (Best Managed Instituion) ambapo iliibuka Mshindi wa Kwanza kati ya Wakala za Serikali (Agencies category). Aidha, TFDA ilitangazwa kuwa Mshindi wa Jumla wa Taasisi zenye Mifumo Bora ya Uongozi (Overall Winner) kwenye kundi la Wizara, Idara na Taasisi za Serikali ambapo ilipatiwa Vikombe na Vyeti, kwa maelezo zaidi.
|
 |
Mkurugenzi Mkuu wa TFDA, Bw. Hiiti B. Sillo akiwa ameshika moja kati ya vikombe viwili ambavyo TFDA ilikabidhiwa baada ya kuibuka mshindi wa kwanza kwa Taasisi yenye mfumo bora ya utendaji na uongozi (Best Managed Institution). Katikati ni Mgeni Rasmi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein na kulia ni Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bibi Hawa Ghasia. |
| |
|
| |
| |
|
| |
|
|
| |
|
|
 |
-
Launch of Medicines Registration Harmonization (MRH) in EAC.
(Posted: 23rd March, 2012)
-
Taarifa Kuhusu Uwepo wa Dawa Bandia ya Kutibu Ugonjwa wa Malaria iitwayo ELOQUINE (Quinine Sulphate 300mg USP).
(Imetolewa: 24 February, 2012)
-
Mkutano wa Wamiliki wa Maduka ya Dawa Baridi Mkoani Dar es Salaam, tarehe 17 January 2012.
(Posted: 16th January, 2012)
-
Announcement to all Parties Conducting Clinical Trials and those Providing Preventive Chemotherapy in Tanzania.
(Posted: 30th December, 2011)
-
Clarification on Inspection of Overseas Pharmaceutical Manufacturing Facilities by TFDA.
(Posted: 21st December, 2011)
-
Announcement to All Parties Involved or Conducting Clinical Trials in Tanzania.
(Posted: 25th October, 2011)
-
a) Utaratibu Mpya wa Kulipia Huduma za TFDA Kufanyika Kupitia Benki.
(Imetolewa: 07 Oktoba, 2011)
b)
New Payment Systems for TFDA Services Through Bank Account.
(Posted: 7th October, 2011)
-
Tahadhari ya Uwepo wa Dawa Bandia kwenye Soko.
(Imetolewa: 27 Septemba, 2011)
-
Tangazo la Viwango Vipya vya Ada na Tozo 2011/2012.
(Imetolewa: 23 Septemba, 2011)
-
Taarifa kwa Umma Kuhusu Usalama wa Samaki Walioingizwa Nchini kutoka Japan, Tarehe 24, July 2011.
(Imetolewa: 13 Septemba, 2011)
|
|
|