MINISTRY OF HEALTH AND SOCIAL WELFARE                              TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY
 

 

Limited version of slide show, Copyright GD

Baadhi ya waathirika wa Vipodozi.Madhara haya hutokea kwa kutumia Vipodozi visivyosajiriwa au vyenye viambata vya sumu

Baadhi ya vipodozi vilivyo pigwa marufuku na TFDA.Vipodozi hivyo ni vyenye vambata vya sumu

 

 

 

 

Afisa wa TFDA akigawa vitabu kwa wananchi walio hudhuria uzinduzi wa kitabu cha JE NITAPENDEZA?Vipodozi hutumika kujiremba au kujiongezea uzuri ingawa uzuri si lazima kubadirisha rangi ya ngozi.

 

 

Chakula kinatakiwa kutunzwa na kuhifadhiwa mahali pazuri.
Dawa zinapotumika bila kufuata maelekezo ya daktari, husababisha madhara kwa mtumiaji wa dawa hizo ingawa madhara hayo yanaweza kusababishwa na mwili kutokubaliana na dawa husika
Vipodozi vyenye viambata vya sumu hudhuru watumiaji wa vipodozi hivyo na kuwaweka watumiaji kwenye hatari kubwa sana.
copyrights ©2004 www.fda.or.tz All rights reserved Privacy policy
Powered by  TFDA
|Contacts